Kwa Nini Michango ya CHADEMA Iasua?
Makala hii inaangazia historia ya ufadhili wa CHADEMA, mabadiliko ya mwelekeo wa chama na jinsi mabadiliko hayo yanavyodaiwa kuathiri uhusiano wake na wafanyabiashara pamoja na wafadhili wa sekta binafsi. Inaeleza changamoto za kifedha zinazoweza kujitokeza chama kinaposhindwa kuoanisha ajenda za haki za kijamii na sera zinazounga mkono biashara na uwekezaji.